Huenda Kafyu ikaendelea hata baada ya Julai Kenya

22/06/2020 23:36 in News
Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema hajui iwapo marufuku ya kafyu na sitisho la safari za kuingia na kutoka kwenye maeneo ya Nairobi, Mombasa na Mandera yatalegezwa mwezi Julai..
Katika mahojiano na Runinga ya Citizen TV, Waziri Kagwe amesema kulegeza masharti ya kudhibiti Korona kutategemea na utayarifu wa wakenya katika kukabili virusi hivyo.
Aidha, kanuni zitabuniwa ili kuzingatiwa na washikadau katika sekta mbalimbali kabla ya kufngua shughuli zote
Taarifa hii inajiri huku Kenya ikiwa imefikisha visa 4,797. Kufikia sasa baada ya watu 59 kuambukizwa katika saa 24 zilizopita.
COMMENTS